Google PlusRSS FeedEmail

KALA JEREMIAH KUTOA WIMBO WA FUNGA MWAKA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini miondoko ya Hip Hop Kala Jeremiah ameamua kutoa zawadi ya kufunga mwaka kwa kutoa wimbo wake mpya alioupa jina la 'Walewale', ambapo nyimbo hiyo itaenda sambamba na video yake.

Balozi huyo wa Peps ameweka wazi kuwa ameamua kufunga mwaka kwa kutoa nyimbo hiyo ambayo itaambatana na video ili kuwafanya mashabiki wake waendelee kusikiliza muziki wake, huku akiamini kuwa bado anaendelea kuliteka soko la muziki.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging