Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Rehema Chalamila, 'Ray C' amesherehekea kuadhimisha mwaka mmoja tangu ameacha kutumia dawa za kulevya.
Msanii huyo amesherehekea na baadhi ya vijana wenzake ambao nao walikuwa waathirika wa matumizi ya dawa hizo za kulevya, ambapo kwa kupitia ukurasa wake wa Instagram msanii huyo ametuma picha zinazomuonesha akiwa na vijana hao wakisherehekea pamoja.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.