Google PlusRSS FeedEmail

GAGA ATEMBEA NA MTI WA X-MASS KICHWANI

Vituko bado anaviendeleza msanii wa muziki kutoka nchini Marekani Lady Gaga ambaye ameonekana kuianza rasmi sikukuu ya X-Mass kwa kutembea na mti wa X-mass kichwani mwake.

Baadhi ya watu wengi wamezoea kupamba maua mbalimbali sebuleni na hata vyumbani kwao lakini kwa msanii huyo hali imekuwa tofauti ambapo yeye ameamua kuubeba mti huo kichwani mwake.


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging