Google PlusRSS FeedEmail

LIL KIM AFUNGULIWA MASHTAKA

Rapa Lil Kim amefunguliwa mashtaka na mchoraji mmoja mwenye asili ya Canada, kwa madai kuwa ameiba picha yake na kuitumia katika kasha lake la juu ya albamu yake ambayo alikuwa anatarajia kutoa hivi karibuni.

Mchoraji huyo Samantha Ravndah amesema Kim ametumia mchoro unaofanana na picha yake kwa kila kitu katika kasha bila ya kumtaarifu.


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging