Mwanamuziki Caroline Sam 'Maheeda' ameeleza kuwa maisha yake ya utotoni ni zaidi ya Chuo cha Mafunzo, huku akidai kuwa ndio sababu ya mafanikio.
Alisema kuwa hakuwahi kumuona baba yake na mama yake walifarikia akiwa mdogo alilelewa kwenye vituo vya watoto yatima na alipofikisha miaka 14, aliamua kuingia mitaani ambako alifanya kazi nyingi ikiwemo ukahaba, muhudumu wa baa mambo ambayo anayachukulia katika mtazamo tofauti na imemfanya awe na mafanikio.
"Ni ngumu kupata mafanikio huku ukiwa na taswira mbaya lakini kwangu hiyo imekuwa ni ngao yangu ya mafanikio nikipambana nisirudi tena huko" alisema Maheeda.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








