
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, 2Face pamoja na abiria wengine wanusurika kufa kwenye ndege iliyopata hitilafu ikiwa angani.
Ajali hiyo imetokea baada ya mlango wa ndege hiyo kufunguka ghafla wakati wakiwa angani muda mfupi baada ya kuruka
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG






