Google PlusRSS FeedEmail

LIL WAYNE AONYA WALIMU

Mwanamuziki machachari wa Marekani, Lil Wayne amewataka walimu wa ngazi mbalimbali za elimu kuacha kutumia mistari ya nyimbo zake kuwafundisha wanafunzi.

Rapper huyo alisema hakuna haja ya kutumia maneno wala misemo mbalimbali aliyokuwa akitumia kwenye nyimbo zake kama njia za kuwafundisha wanafunzi.

Hali hiyo imeibuka kufuatia mwalimu mmoja wa shule ya awali iliyopo kusini mwa Florida, The Charter School of Boynton Beach kusimamishwa kazi mwezi huu kwa kuwapatia wanafunzi kazi za nyumbani zinazohusiana na nyimbo za msanii huyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging