Google PlusRSS FeedEmail

JE KUPIGIWA GOTI NA KUOMBWA MSAMAHA NI UDHALILISHAJI?

                                   http://2.bp.blogspot.com/-RVQkjKcPMcQ/Uw3k2A-AmcI/AAAAAAAAsAE/s496xTxokgY/s1600/Ostaz-11.jpg
Tangu jana usiku kuna picha ilikua inasambaa ikimwonyesha Msanii PNC akiwa amempigia magoti boss wake wa zamani Ostaz Juma na musoma, akiwa anamwuomba msamaha, huku Ostaz anaonekana akiwa amekalia kochi huku amekunja nne, picha imekua gumzo, wengi wakidai kuwa kitendo cha picha hizo kupigwa na kusambazwa hasa Ostaz mwenye kuipost picha hiyo kwenye mtandao wa Instagram ni kumdhalilisha msanii huyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging