Google PlusRSS FeedEmail

ANGALIA BAADHI YA WASANII WANAOSADIKIKA WANAPENDWA ZAIDI TANZANIA

                          

Ukiachilia mbali wingi wa wasanii wanaofanya vizuri kwenye tasnia mbali mbali apa bongo, sio wote wanaobahatika kukubalika na kupokelewa vizuri na Jamii/mashabiki. Hawa wanasadikika ndio wasanii wenye mvuto zaidi  kwa kupendwa na mashabiki.


                                                                    1.DIamond platinum

Anaweza akawa sio muimbaji mzuri kama Alikiba au barnaba, ila haina ubishi huyu ndiye msanii wa kiume kwa upande wa bongo fleva anayeongoza kwa kupendwa zaidi na mashabiki, jina lake linazidi kukua siku hadi siku na kazi zake zinafanya vizur karibia east Africa nzima.

                                                                  2. Wema sepetu
Sio muigizaji mzuri kumshinda Johari, wala hana filamu nyingi sokoni kuliko Irene uwoya, ndio maana hata waandaji wa tunzo za filamu hawajawahi kum nominate hata kwenye category ya msanii chipukizi bora, hiyo haijafanya jina lake lishuke kwenye Tasnia hiyo, Bado haina ubishi wema ana nyota Kali na anapendwa kuliko msanii yeyote. mwenyewe anajiita ENDLESS FAME.

                                                           3. LADY JAYDEE
Kiuno chake kina mfupa, hana mauno makali kumzidi Snura mushi, sauti yake nzuri na kipaji cha pekee alichobarikiwa kimemfanya apendwe zaidi na mashabiki kibao. Unadhani ana pesa sana kuliko ruge? Hakustahili kabisa kushindana naye , ila jeuri ya mashabiki aliyonao ilimfanya ajione malkia , nadhan unakumbuka Team anaconda ilifanya nini pale Nyumbani Lounge. Jide ana nyota Kali sana.

                                                                              4. JB
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhLojxqH85FYbv-MPJc_W4KGFBdhEDT56SPKrE8y0T7aS_DLuIdwxwtIZ9tgbKVmtpppP46Yec-7AlwHK_R1dv2ZPkGAGMoEpEaeTLMJCOywJiltZMT-y6yJlccgLHUbI-s4gfbf6A0p1mz/s1600/JB_23.JPG
Kipaji chake hakikumfikia marehemu kanumba(r.I.p),sio director mzuri kama Jackson kibirigi, ubunifu alionao kwenye filamu zake umemfanya apendwe zaidi na mashabiki kuliko msanii yeyote wa kiume kwa upande wa filamu apa bongo.


                                                                     5.Lulu Michael
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtGlecJ_MkvJZVHI7zlhKnsSL2FaErBdiDE-S3fV4gS1__PKS13UsDjDUg9u_Y4w0WGuTx0G1kmE8OLF_gOsNAl2w5Ma0PE_29x3T9cOPnWT_sTpFnM_S1taBAp2-ev0ivsnGfgqErQpdC/s1600/1926692_696517747037658_409001088_n.jpg

Hajawahi kuigiza vizuri kama Diana kimaro(Danija,Kigodoro) ila ana nyota nzuri sana, licha ya umri mdogo alionao , anapendwa na ana mashabiki wengi zaidi.

                                                                      6.Monalisa
 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/12/Yvonne-Cherryl-Monalisa-480x511.jpg


Hana umbo kama masogange, kipaji cha kipekee alichonacho na umakini alionao kwenye uigizaji umemfanya ajiongezee mashabiki wengi zaidi.

                                                                           7. Ray kigosi
Sio muigizaji mzuri kumshinda Gabo, kampuni makini aliyonayo na aina ya waigizaji anaowatumia imemfanya kazi zake zinunuliwe zaidi kuliko kampuni yeyote apa bongo. Steps ilishawahi kusema kuhusu kazi za waigizaji zinazonunuliwa kama njugu, ray alishika namba mbili akitanguliwa na kanumba.

                                                                           8.Johari

Hana swagger kama wema sepetu, kazi zake na umakini alionao kwenye uigizaji , vimemfanya apendwe zaidi na mashabiki , ndo maana hadi Leo kazi zake zipo juu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging