Google PlusRSS FeedEmail

JHIKOMAN APATA SHAVU ULAYA

                         
Mwanamuziki wa muziki wa Reggae kutoka Tanzania   Jhikoman, anatarajiwa kuondoka nchini katikati ya mwezi huukuanza ziara ya miezi mitatu barani ulaya, ambapo atatumbuiza katika maonyesho makubwa ya kimataifa huko Ulaya.

Baadhi ya festival zitakazo funikwa na mwanamuziki huyo ni Helsink Film Festival kule Finland, na Norway na imebainika kuwa Jhikoman pia atashirikiana jukwaa na wazee wa kazi FFU Ughaibuni a.k.a "watoto wa mbwa" Ngoma Africa band katika maonyesho makubwa ya Tubingen,Ujerumani yatakayo fanyika kuanzia 17 mpaka 20 Julai 2014.



Hivi karibuni, Jhikoman na bendi yake ya Afrikabisa Band, ametajwa kuwa ni balozi nyota bora ya Reggae anayekubalika kimataifa na anaweza kumudu kutingisha jukwaa lolote kubwa la kimataifa.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging