Google PlusRSS FeedEmail

RAY C KUJA NA UJIO MPYA

KATIKA hali ambayo mashabiki wa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Ray C wakiwa wanasubili kwa hamu ujio mpya wa msanii huyo, hivi karibuni mwanadada huyo ametuma picha katika mtandao wa Istagram zinazomuonesha akiwa yupo katika maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.

Ingawa katika picha hiyo hakuonesha ni video ya wimbo gani, lakini picha hizo zinaonesha majibu kwa mashabiki wake, kuwa wakae mkao wa kula.

Subira ya mashabiki hao wa Ray C inaelekea ukingoni huku hamu ya kusikia sauti yake tena ikiongezeka kila anapo-tease ujio wake.

Hivi karibuni, Ray C amepost kwenye Instagram picha ambazo zinaonekana kuwa ni maalum kwa ajili ya utambulisho wa ujio wa kazi zake huku maandishi yake kwenye post moja yakiashiria huenda picha hizo zikawa ni sehemu ya video ya wimbo wake.

“Behind the seen @albertmanifester kazi imeanza mashallah sauti tamu itaanza kusikika soon!!!!!!!Thank you lord.” Ameandika Ray C.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging