Google PlusRSS FeedEmail

WAGOSI WA KAYA WARUDI KWA KISHINDO


BAADA ya ukimya wa muda mrefu zaidi ya miaka 8, kundi la wagosi wa Kaya lenye makazi yake mkoani Tanga, warejea tena katika game ya muziki wa kizazi kipya huku wakiwa teyari wamemaliza maandalizi ya albamu yao waliyoipa jina la 'Uamsho'.

Kundi hilo linaliundwa na wasanii wawili Mkoloni pamoja na Dr.John teyari wameshaachia nyimbo zao mbili zilizoambatana na video ambapo nyimbo hizo ni 'Bao' pamoja na 'Gahawa'.


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging