Mwanadada, Penny akanusha kujihusisha na mahusiano na mwanaume mwingine ikiwa ni muda mchache tangu aripotiwe kuachana na msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platnum.
Mwanadada huyo,ambaye alikanusha vikali tuhuma hizo, kwa madai kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakifwatiria maisha yake kwa kumnyima uhuru kufanya jambo lolote lile.
Amedai kuwa kwa sasa hanampango wa kuwa na mwanaume ingawa muda ukifika ataweka wazi kila kitu, hivyo hataki watu kumfwatiria huku wakimnyima raha
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.