Unaweza kuona kama bado drama zinaendelea lakini ni kama movie imefika mwisho, kwani wale wakali wawili waliotengeneza vichwa vya habari kila kukicha hapa Tanzania katika Social media hatimae wawili hao wamepatana, Kajala Masanja na Wema sepetu.Hii imetokea jana kwenye msiba wa director na aliyekuwa mzazi mwenzie Monalisa.