Google PlusRSS FeedEmail

SHILOLE AJIUNGA NA CHAMA CHA " WANAWAKE TUNAWEZA"

                              
Mkali wa filamu na muziki wenye asili ya mduara hapa Nchini Tanzania  Zuwena Muhamed  ‘Shishi’ ambaye aliwahi kulalamika juu ya kuibiwa wazo lake la wimbo wa ‘Kanitangaze’ ikiwa Nakomaa na Jiji ndio shina la mafanikio ya muziki wa shilole.

Mbali na mambo ya muziki Shilole sasa kajiunga na kuwa mwanachama wa Kampuni ya ‘Wanawake tunaweza’ ikiwa ni kutokana juhudi za kimaendeleo ambazo shilole huzionesha kwenye game la muzilki akiwa kama mtoto wa kike.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging