Mwanamuziki Ciara ameposti kwa mara nyingine picha ya mtoto wake mchanga wa kiume mwenye umri zaidi ya mwezi mmoja sasa,ambaye ameshambatiza kwa jina la Future,Caiara aliachia picha hiyo kupitia kwenye mtandao wa kijamii mtoto ambaye alizaa na rapper mwenye jina hilo hilo la future
CIARA AMWANIKA MWANAE KWENYE MTANDAO WA KIJAMAMII
Mwanamuziki Ciara ameposti kwa mara nyingine picha ya mtoto wake mchanga wa kiume mwenye umri zaidi ya mwezi mmoja sasa,ambaye ameshambatiza kwa jina la Future,Caiara aliachia picha hiyo kupitia kwenye mtandao wa kijamii mtoto ambaye alizaa na rapper mwenye jina hilo hilo la future