Diamond tena kwa mara nyingi fursa imemdondokea mara baada ya waimbaji wawili kutoka Afrika Kusini wanaounda kundi la Mafikizolo kumshirikisha Diamond kwenye nyimbo yao mpya ambayo haijafahamika kwa jina .
Fursa ya kushiriki katika tuzo za MTV MAMA mwaka huu zimezaa matunda mengine kwa Diamond Platinumz baada ya kuingia studio na kufanya wimbo na kundi la Mafikizolo ambalo lilishinda tuzo ya kundi bora na wimbo bora (Khona) .
Diamond akiongozana na meneja wake, Babu Tale waliingia katika studio za mtayarishaji maarufu wa Afrika Kusini anayefanya kazi za Mafikizolo, Oskido ambapo kazi ilifanyika.
Bado jina la wimbo na atarehe za kutoka kwa wimbo huo hazijawekwa wazi.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.