Google PlusRSS FeedEmail

FILAMU YA 'THE KARATE KID' HATI HATI KUTOKA

Filamu ya The Karate Kid iliyoigiwa na Jaden Smith na Jackie Chan imepata pigo baada ya muongozaji wa filamu hiyo kujitoa katika mradi huo.

Waandaaji wa filamu hiyo wameeleza kuwa muongozaji Breck Eisner ametoka kwenye mradi wa filamu hiyo kutokana na mgongano/mgogoro wa ratiba. Filamu hiyo bado haijampata muongozaji mpya.

Hata hivyo filamu hiyo imeongeza waandishi wengine wawili kwenye timu yake, ambao ni Jeremiah Friedman na Nick Palmer.

Filamu ya kwanza ya The Karate Kid ya mwaka 2010 ilifanikiwa kufikia mauzo ya $343 millioni duniani kote.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging