Google PlusRSS FeedEmail

WEMA AKANUSHA TAARIFA ZA UJAUZITO


HATIMAYE msanii wa fiilamu nchini Wema Sepetu, amekanusha uvumi uliokuwa ukidai kuwa ni mjamzito ikidaiwa kuwa na mimba ya wiki saba.
Muigizaji huyo wa kike, ambaye inasemekana anatajwa kuwa ni mmoja kati ya wasanii wa kike wanaofuatiliwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii amezikanusha tetesi zinazosambaa kuwa ni mjamzito.

Kupitia Instagram, Wema ambaye ni mpenzi wa Diamond amezikana tetesi hizo na kueleza kuwa anawish angekuwa mjamzito kweli.

“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant.... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi wangu... ” Ameandika Wema Sepetu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging