KESI YAMBASHA YAPIGWA KALENDA TENA
Muimbaji wa nyimbo za injiri Emmanuel Mbasha (32),akimsikiliza baba yake mzazi kwa makini Maneno Mbasha katika mahakama ya wilaya ya Ilala leo ambapo muimbaji huyo anakabiliwa na kesi ya ubakaji ambayo imeahirishwa hadi 23 July mwaka huu