Ni mmoja wa waigizaji wanawake Nollywood ambaye ana mvuto wa aina yake,mara nyingi hupenda kuigiza kama mfanyakazi wa ndani au mtu masikini wa kutupwa,ila kihalisia Mercy ni Tajiri ni mmoja kati ya wacheza filamu wa kike mwenye kipato kikubwa,alizaliwa mwaka 1984 katika familia ya ofisa wa jeshi la wanamaji la Nigeria.Bwana Daniel Johnson.,na alifanikiwa kuingia katika fani ya uigizaji mnamo mwaka 2004,.kati ya filamu zilizompatia umaharufu mkubwa ni filamu ya Youth,mwaka 2011 aliolewa na mfanyabiashara mkubwa Prince Odianosen Okojie na tayari wameshapata mototo mmoja wa kike..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.