Aliyekuwa mcheza filamu na mchekeshaji kutoka huko Hollywood Robbin Williams amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 63,Kwa mujibu wa police wa kitongoji cha Marin County ,Calif,wanasema
Mwili wake umekutwa nyumbani kwake huko Tiburon California na watu wa karibu wanasema alikuwa anasumbuliwa na msongo wa mawazo hivi karibuni.
Taarifa za mwanzo zinasema kuwa inasadika kuwa alijiua kutokana na msongo wa mawazo na utumiaji wa dawa za kulevya na utumiaji mkubwa wa pombe.
Enzi za uhai wake aliwai kushiriki kwenye movie kama The Fisher King,Good will Hunting,Jumanji,Popeye nk . Pia alishinda tuzo kama Academy,Golden Globe,Emmy,Grammy na nyinginezo kwa wakati tofauti.
Enzi za uhai wake aliwai kushiriki kwenye movie kama The Fisher King,Good will Hunting,Jumanji,Popeye nk . Pia alishinda tuzo kama Academy,Golden Globe,Emmy,Grammy na nyinginezo kwa wakati tofauti.