Amber Rose ameendelea kuwa tishio katika fani ya urembo baada ya kumbukumbu ya miaka kumi ya Perez Hilton ,Hollywood Marekani
Mrembo huyo mwenye mvuto alijitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu alipotia saini mktaba na kampuni ya NCredible Entertanment,ambayo meneja wake ni mwanamuziki Nick Cannon.
Mwanamitindo huyo alifunga ndoa na Rapper Wiz Khalifa,mwanamama aliuteka ukumbi kwa suruali yake aina Jeans,ambayo ilionesha umbo lake.
Pia alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rapper Kanye West