Madongo ya 50 Cent kwa bondia Mayweather kuhusu uwezo wake wa kusoma yamemgusa baba yake Floyd Mayweather ambaye amemwambia mwanae dawa ya kukomesha kelele hizo ni kumpa kichapo heavy tena jukwaani.
Kwa mujibu wa TMZ, baba yake Mayweather ameeleza hayo wakati akifanya mahojiano na Brian Shapiro wa ‘Fox Sports 670’ na kueleza sababu za kumshauri hivyo mwanae.
“50 Cent anaonekana kama ana matatizo tangu Floyd alipomuacha. Ni mwimbaji maarufu duniani lakini anafanya vitendo vya kitoto.” Amesema mzee huyo.
“Muache apambane na Floyd…halafu tukio hilo liwekwe kwenye video. Floyd atayamaliza yote hayo. Hakutakuwa na mengine yakusemwa.” Ameongeza.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.