Google PlusRSS FeedEmail

MWANASIASA AMRUDIA MUNGU

                   http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/DEO_KISANDU2.jpg
Aliyewahi kuwa mwanasiasa kupitia chama cha NCCR  Mageuzi Nchini tanzania Mwl Deo Kisandu ameamua kuokoka na kumuachia Mungu maisha yake yote.

Niliongea naye kwa simu kutoka mwanza mapema leo alisema kwamba "nimeamua kuokoka na kumtumikia Mungu katika maisha yangu yote baada ya kupitia majaribu mengi katika siasa pia nna wimbo wangu wa injili unaitwa yesu umeniokoa ni mzuri sana mda sio mrefu ntatoa video ya wimbo huo" alisema Mwl Deo Kisandu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging