Chid Benz alipandishwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jana October 28 na kusomewa mashtaka matatu yaliyokuwa yakimkabili ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Msanii huyo ambaye anakabiliwa na kesi ya kukamatwa na dawa za kulevya,kesi hiyo inatarajiwa kusikilizwa tena October 11 mwaka huu 2014.