Ambapo aliweka wazi kuwa jambo ambalo limemuumiza na hatolisahau ni kuandikwa na moja ya gazeti hapa nchini jambo ambalo kwake anaona si la kawaida.
"Nimeandikwa nimekunywa nimelewa kisha nikabakwa na wanaume zaidi ya watatu, jambo hilo liliniumiza sana na ni jambo ambalo sitoweza kulisahau katika maisha yangu kwani ni kitu ambacho nakikumbuka kila siku" alisema Rose.
Aliongezea kuwa ni vyema waandishi wakatafuta story za ukweli na kuwauliza wausika.