Google PlusRSS FeedEmail

WASANII WA BONGO NA KUPIMA HIV

MSANII anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amewaasa wasanii wenzake kujali afya zao kwa kupenda kupima ugonjwa wa Ukimwi mara kwa mara.

sanii anayekuja kwa kasi anga la filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’. Akizungumza na mwandishi wetu, msanii huyo alisema kuwa kungekuwa na taratibu kabisa za kupima ugonjwa huo si kwa nia mbaya ili kuweza kujuana maana kwenye vikundi vya sanaa ndiko kwenye vitendo vingi viovu.
“Ni kitu kizuri sana tena kupima kwa hiari na hivyo vingeweza kusaidia kuwaepusha wasanii wachanga wanaorubuniwa na viongozi wa vikundi ili kupewa nafasi ya kuonekana kwenye runinga,”

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging