Google PlusRSS FeedEmail

MENINAH ATINGA KWA MGANGA KUMNASA DIAMOND

Mganga aliyejita-mbulisha kwa jina moja la Kimweri ameibuka na madai mazito kuwa ndiye aliyemng’arisha staa wa kike wa Bongo Fleva, Meninah Abdukareem ‘Meninah La diva’ hivyo kutoa siri nzito ambayo wengi hawakuijua.

Kwa mujibu wa mganga huyo ameeleza siri nzito kuwa msanii huyo hutinga nyumbani kwa mganga huyo kwa ajili ya kuchukua dawa kwa ajili ya kujiongozea mvuto na kumnasa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platnum.

Alidai kuwa msanii huyo wa kike amekuwa akienda nyumbani kwa mganga huyo Mwananyamala jijini Dar es Salaam, kuchukua dawa kwa ajili ya kumnasa Diamond Platnum

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging