Google PlusRSS FeedEmail

ACCOUNT ZA BENK ZA 50 CENTS ZAFUNGIWA

                                       




Msanii wa HipHop kutoka Marekani,50Cents amefungiwa Account ya benk na anatarajia kukosa huduma za kifedha kwa muda.

Nyota huyo amefungiwa akaunt kutokana na kudaiwa zaidi ya dolla za Marekani,Million 17 sawa na zaidi ya shilingi Billioni 27 za Kitanzania

Madai hayo yanatokana na 50 cents  kusambaziwa headphones na kampuni moja ya huko nchini Marekani

Mali nyingine za 50 cents ziko salama kutokana na mali hizo kuwa kwenye uangalizi madhubuti

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging