Muimbaji Mwenye uwezo Mkubwa wakupiga vyombo vya Muziki Kutoka THT Barnaba boy leo usiku anatarajia kudondosha bonge la burudani katika ukumbi wa Villa Park ndani ya jiji la Mwanza ikiwa chini ya kundi la madj ya kitaifa Pro 24 Dj.
Pro 24 Dj's wapo ndani ya jiji la Mwanza kwa siku 3 mfululizo ambapo siku ya kesho (Jumamosi) watadondosha burudani ya nguvu ndani ya Samaki Ferstival jijini Mwanza
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.