Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA AZIDI KUIPAMBA PUMA

                                         
Msanii wa muziki Rihanna ameanza rasmi kutangaza bidhaa za kampuni ya Puma, Nyota  huyo alianza kuzinadi bidhaa za michezo ambapo,kampuni  hiyo imeanza kupata sifa kem kem kutoka kwa watumiaji wa bidhaa zake
Rihanna alipiga picha tofauti tofauti  na kuzisambaza kwenyeb mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo istagram,na twitter

     

 Msanii huyo anatarajia kufanya kazi na puma kwa muda wa mwaka mmoja ,na atakuwa akitangaza nguo vitatu na bidhaa zingine tofauti tofati za puma

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging