Alisema amebaini wanaume wanaume wapenda ngono wamekuwa wepesi kubadilika kwa vile wakivutiwa na mwanamke mwingine ni rahisi kumuacha mpenzi wake na kuanzisha mahusiano mapya.
Hata hivyo amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Taylor Kinney ambaye ni mpenzi wa sasa wa Lady Gaga.
Cmeron Diaz ambaye hivi karibuni amefunga ndoa na Benji Madden amekiri kwamba ana imani mumewe ni mtu mtulivu na wataishi kwa upendo