Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake ni baba Askofu wa Kanisa gani? Amedai kuwa ameamua kutoa ushuhuda kwani toka kuoa kwake amebadilika sana kitabia hata anafikiria siku akiacha kuigiza atakuwa mchungaji ni vema akajiandaa mapema na kuwa mwadilifu katika jamii, huku alikopita anasema ilikuwa ujana tu.
JIMMY AACHA RASMI KUVUTA BANGI
Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake ni baba Askofu wa Kanisa gani? Amedai kuwa ameamua kutoa ushuhuda kwani toka kuoa kwake amebadilika sana kitabia hata anafikiria siku akiacha kuigiza atakuwa mchungaji ni vema akajiandaa mapema na kuwa mwadilifu katika jamii, huku alikopita anasema ilikuwa ujana tu.