Mzee wa Swaga baada ya mwanadada Tv Presenter kumshushia nondo za kutosha katika Preview ya movie hiyo kumbe mchizi amecopy & Paste from one movie kutoka sinema moja ya akina Kanjibai from Bombay.
Zamaradi Mketema alichambua sinema ya Mzee wa Swaga scene kwa scene na kumwacha mchizi akiwa hoi huko aliko hatujui kama mtunzi wa filamu hiyo kama alimwambia JB na kama aliambiwa duh,, wasingejipa credit zaidi ya kuonyesha kuwa sinema hiyo imetokana na hadithi ya filamu
Zamaradi Mketema alichambua sinema ya Mzee wa Swaga scene kwa scene na kumwacha mchizi akiwa hoi huko aliko hatujui kama mtunzi wa filamu hiyo kama alimwambia JB na kama aliambiwa duh,, wasingejipa credit zaidi ya kuonyesha kuwa sinema hiyo imetokana na hadithi ya filamu