OMMY DIMPOZ ATOA UTATA
Msanii wa bongo fleva, Ommy Dimpoz, amefunguka kuhusiana na picha zilizozua utata na kuzozagaa mitandao zikimuonesha akiwa kitandani na msanii wa filamu Wema sepetu.
Ommy amesema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz, ameamua kujiweka kwa Wema, baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platinum.