Google PlusRSS FeedEmail

SHAKIRA APATA MTOTO MWINGINE

                     

Mwanamuziki Shakira amejifungua mtoto wake wa pili wa kiume siku ya Alhamisi Iliyopita huko Barcelona,Shakira ambaye kwa sasa na umri wa miaka 37 pamoja na mpenzi wake ambaye ni mwanasoka Gerald Pique,wamempatia mtoto huyo jina la  Sasha

                             

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail wawili hao walikodi floor nzima katika hospital ijulikananyo kwa jina la Quiron Tecknon iliyopo Jijini Barcelona..inasemekana Dactari aliyemsimamia kujifungua mtoto wake wa kwanza ndiye aliyesimamia na mtoto wao wa pili pia 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging