Mwanamuziki Diamond amewasili mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 38 tangu kuzaliwa kwa ccm,mwanamziki huyo amewasili leo asubuhi akiwa na mpenzi wake zari pamoja na wasaidizi wake wawili ambao kwa pamoja walikwenda kwa ndege ya kukodi..
DIAMOND NA ZARI WAWASILI SONGEA
Mwanamuziki Diamond amewasili mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 38 tangu kuzaliwa kwa ccm,mwanamziki huyo amewasili leo asubuhi akiwa na mpenzi wake zari pamoja na wasaidizi wake wawili ambao kwa pamoja walikwenda kwa ndege ya kukodi..