Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS BROWN AWA BABA, ANAMTOTO WA MIEZI 9

KWA mujibu wa mtandao waTMZ  umeripoti kuwa msanii wa miondoko ya R&B  Chris Brown amepata mtoto wa kike miezi tisa iliyopita hali hiyo inaashiria kuwa hivi sasa muimbaji huyu ni Baba wa mtoto wa kike wa miezi 9.

Ambapo inadawa kuwa mama wa mtoto huyu anajulikana kwa jina la  Nia mwenye umri wa miaka ’31’ ambaye alishawahi kuwa mwanamitindo huku ikidaiwa kuwa alifahamiana na Chris Brown kwa miaka mingi nyuma.

Watu karibu na Chris Brown ’25’ wanasema mama na mtoto wa afya njema na kwamba Chris Brown anafuraha kuwa baba ila hawanatena mahusiano na mama yake.

Nai amekuwa akiwaambia marafiki zake kuwa Chris Brown ndio baba wa mtoto huyu ila anaishi na mwanaume mwingine anayelea huyu mtoto.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging