Rapper Jay amefanikiwa kununua kampuni ya kusikiliza muziki kupitia kwenye mtandao,Kampuni hiyo ya Aspiro ambayo makao makuu yake yako Nchini Sweden,inaendesha huduma hiyo kupitia kwenye mtandao.
Inasadikika Jay z ametumia kiasi cha Dollar Million 56$ ,Wachambuzi wa mambo hawajaweka bayana nia ya Jay Z kununua kampuni hiyo,ila baadhi ya watu wanasema kwamba anataka kuboresha huduma hiyo ili iwe na ubora wa hali ya juu,kuzidi Itunes na Spotify