Aliyekuwa Mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone Emmanuel Mayanja Hummertone aka AK47
amefariki Dunia,Mara baada ya kutokea ugomvi katika moja ya Bar katika kitongoji cha Kabalagala
Emmanuel Mayanja Hummertone aka AK47 ambaye na pia ni mwanamuziki alifariki Dunia akiwa anawasili katika Hospital Nsambya hospital
Chazo cha habari kinasema kuwa AK47 alionekana amepigwa ila alipoamua kwenda bafuni ili kufuta damu zilizokuwa zikimtoka ndipo alipoanguka na kujigonga kichwani