Mwanamama Jinnifer Lopez,Mamezidi kuwa gumzo kwa tabia yake ya kubadili wanaume,ila kwa sasa amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii kutokana na yeye kubadili style yake ya mavazi.
Kwa siku za hivi husoni mwanamama huyo mwenye umri wa miaka 45,amekuwa na tabia ya kupigili nguo fupi kila anapoonekana hadharani
wachambuzi wa mamabo wanasema mwanamama huyo anafanya makusudi kutokana na yeye mwenyewe kujitambua kuwa ni mrembo na mwenye shepu la kuvutia ila anafanya makusudi ili kuvutia watu na mapaparazi wanaomfatilia kila kukicha