Google PlusRSS FeedEmail

KANYE WEST AMUUZA MKE WAKE?



Msanii wa muziki Kanye West ameweka msururu wa picha za utupu wa mkewe Kim Kardashian West katika mtandao wake wa Twitter. Nyota huyo wa muziki wa rap aliwagawia picha hizo takriban watu millioni 11.7,wanaomfuata katika mtandao wa twitter pamoja na ulimwengu mzima.

Picha hizo zinamuonyesha mkewe Kim kardhashian akijiziba uchi wake na mikono.

Katika ujumbe wake msanii huyo aliyeimbia wimbo kwa jina ''Yeezus'' alijigamba kuhusu hatua zilizopigwa na mkewe katika Runinga ya Reality TV na kusema ana bahati kuwa naye.Katika ujumbe mmoja ambao uliwekwa na picha ya uchi ya Kardashian akijiziba kifua chake na mikono,Kanye West aliandika ''NINA BAHATI''.

Ujumbe huo ulifuatiwa na mwengine pamoja na picha ya Kim ukimpongeza Kardashian kwa kupata watu millioni 30 katika mtandao wake wa kijamii.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging