Mara baada ya kupata mtoto na konekana akiwa na mtoto pamoja na mama yake hatimaye mama wa mtoto wa Chris Brown ameweka bayana na kuthibitisha kuachana na Chris Brown baada ya kugundulika kuwa Chris ni baba wa mtoto mwenye miezi tisa na mwanamitindo Karrueche Tran
Karrueche ametumia ukurasa wake wa Twitter kusema wazi kuwa amechoshwa na kila anachofanya Chris na anawatakia maisha mazuri Chris na familia yake. “Listen. One can only take so much. The best of luck to Chris and his family. No baby drama for me,” .
Inasemekana Chris Brown amezaa na mwanamitindo Nia ’31’ anayeishi Texas .
Tmz imeripoti kuwa Karrueche na Brown waligombana sana wiki iliyopita na kwamba Chris alijaribu sana kumpigia simu ila Tran hakupokea.Vipimo vya DNA vimethibitisha kuwa ni mtoto wa Chris Brown