Mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini amekamatwa kwa tuhuma za kumchoma kisu na kumuua rapa maarufu nchini humo. Rapa Nkululeko Habedi, maarufu kama Flabba, amefariki dunia akiwa nyumbani kwake huko Alexandra Jijini Johannesburg.
Polisi nchini Afrika Kusini wamevieleza vyombo vya habari kuwa mwanamke huyo atapandishwa mahakamani ndani ya saa 48.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.