Msanii maarufu Nchini Kenya,Mzee Ojwang jina lake kamili ni ''Benson Wanjau, 77 ''
anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa jicho lake moja mara baada ya kutoweza kuona kabisa,,mzee Ojwang ambaye siku za nyuma alijinyakulia umaarufu mkubwa kupitia katika kipindi cha Vitimbi pamoja na Vioja Mahakamani.ambaye pia ndiye mwasisi wa vipindi hivyo
Kupitia luninga ya KBC ya Ncini Kenya tangu mwaka 1985 akiwa anaigiza na mkewe katika vichekesho hivyo Mama Kayayi ..
Akihojiwa katika Hospital hiyo Mzee Ojwang Ambaye aliongozana na wasanii wenzake kama Mama Kayayii na Mwala Na Wengine wamekitupia lawama kituo cha KBC kumteklekeza mzee huyo ambaye ameipa umarufu mkubwa kituo hicho cha Tv,alilala kwa kusema ameifanyia mengi KBC ila wameshindwa hata kumlipia gharama za Hospital ambapo mara kwa mara alikuwa akiwasiliana na Uongozi wa kituo hicho bila ya mafanikio
Hadi mwanasiasa maarufu kijana alipojitolea Nairobi senator, Mike Sonko kuamua kugharamia matibabu yake..