BAADA ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, hatimaye msanii huyo ameibuka na kukanusha taarifa hizo.
Ambapo imethibitishwa kuwa msanii huyo bado hajajifungua hivyo taarifa hizo si za kweli hivyo jamii imuombee ajifungue salama kipindi kikifika.
Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.