Mpango wa kuuza nyumba hiyo umefanyaka kati ya mwanamuziki huyo pamoja na business manager wake Michael Kane kwa asilimia 100% bila ya kumshirikisha,aliongeza kwa kusema yeye hakuwai kuwaruhusu kuuza nyumba hiyo kwa gharama ya Dolla Million 9
Ila akaweka bayana kuwa tatizo sio kuuzwa kwa nyumba bali ni Michael Kane hakumshirikisha mwanzo hadi mwisho wa mauzo wa nyumba hiyo,ila amesema yeye kwa sasa anasubiri mgao wake