“Hakuna wazo jipya mtu unaweza kufanya na likawa la kipekee, hadithi zinaweza kufanana lakini si hadi dialogue, kuna mtu anadai filamu yangu ya V.I.P nimeiga kutoka sinema ya Ghana, sasa mimi nasema mtu ambaye ana filamu niliyoiga aje nayo ofisini nitampatia milioni moja,”anasema Ray.
RAY AJIGAMBA NA VIP YAKE
“Hakuna wazo jipya mtu unaweza kufanya na likawa la kipekee, hadithi zinaweza kufanana lakini si hadi dialogue, kuna mtu anadai filamu yangu ya V.I.P nimeiga kutoka sinema ya Ghana, sasa mimi nasema mtu ambaye ana filamu niliyoiga aje nayo ofisini nitampatia milioni moja,”anasema Ray.