Nyoata wa filamu kutoka India ,Shah Rukh Khan anatarajia kuingiza sokoni filamu yake mpya aliyocheza Nchini Marekani
Filamu hiyo ambayo ipo katika hatua za mwisho inatarajiw kuingizwa sokoni hivi karibuni mara baada ya mahojiano nchini india ,khan alisema filamu yake hiyo imetayarishwa na kutengenezwa na aditya chopra na kurekodiwa katika makumbusho ya Madame Tussaunds..
Alisema katika filamu hiyo amemshirikisha mwanamitindo Waluscha De Sousa na Maneesh Shrama.